JE, KIFO NI NINI?

Kifo ni halia ambayo viumbe vyote vilivyohai lazima hatimaye vipitie ama kufikwa nayo. Ni hali ambayo kwayo kumbukumbu zote, mawazo na matendo mengine yote ya mwili husimama ama huacha kufanya kazi. Ni hali a,bayo husababisha mwili kuoza na kuyarudia mavumbi ya nchi.

Wataki kifo kinapomjia mtu, anakuwa haishi tena hadi atakapokumbukwa katika siku ya ufufuo wa wafu. Atafufuliwa bila kujalisha kama ni mwema ama mbaya. wengine watafufuliwa kwa ufufuo wa uzima na wengine watafufuliwa kwa hukumu.

26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini pasipokuwa na mwili wangu utamwona

Mungu.

Wakati mwanadamu anapokufa pumzi yake humtoka na huacha kuishi. hufanyika kuwa ni mfu. hakuna roho inayoondoka, ni pumzi yake ile ya uzima tu. Nwanadamu ni mavumbi ya nchi na pumzi ya uzima. Kifo ni tendo la kutenganishwa kwa mavumbi na pumzi.

RUDI KWENYE KURASA KUU