JE, WAONGOVU WENYEHAKI WATAKUWA WAPI MILELE?

Jibu la swali lililopita linaanzia katika ahadi toka kwa Yehova kwa mtu aitwae Abraham.

Yehova alimuahidi Abraham na uzao wake kwamba anawapa hii dunia kuwa milki yao ya milele. Kama wewe umeisha batizwa na kuzishika amri za Yesu Kristo hadi kufia mwisho wako, basi wewe ni wa uzao wa Abraham na kufanyika kuwa ni mrithi wa hii nchi milele

Watakatifu watairithi nchi ambayo imefanyizwa na kuchukua mahala pa Bustani ya Eden. Yehova ataishi na watu wake na kutawala hapa duniani milele.

RUDI KWENYE KURASA KUU